Background Image
Previous Page  6 / 68 Next Page
Information
Show Menu
Previous Page 6 / 68 Next Page
Page Background

Tangu lilipoanzishwa, shirika la Green Crescent limekuwa likipambana

na utumiaji madawa ya kulevya nchini Uturuki na kwingineko duniani

katika harakati zake za kutunza heshima na neema ya binadamu.

Tulijadili miradi ya kitaifa nay a kimataifa ya shirika la Green Crescent na

Rais Prof. Dr. Mücahit Öztürk ambayo ni msingi ambao unatekeleza kazti

zake kwa kuzingatia jukumu hili wakati wote.

Tangu kuanzishwa, shirika la green

Crescent limekuwa na mnapambano

makali dhidi ya aina zote za kulewa.

Tafadhali simulia safari yauanzishaji

wa shirika la Green Crescent.

Kulewa ni shida kubwa duniani kote

na yenye athari hasi za kimwili na

kiakili kwa mtu binafsi, na ambayo

huleta madhara kwa jamii mbalimbali

na kudhoofisha uchumi wa kitaifa.

Licha ya kuwa na ujuzi wa madhara

ya madawa ya kulevya, aina za vilevyo

na idadi ya walevi inazidi kuongezeka

nchini Uturuki na kwingineko duniani.

Hili linatuonyesha kwamba maadili ya

kibinadamu yanazidi kuzoroteka, na

mahusiano ya kibinadamu yanazidi

kudhoofika, na pia kwamba kulewa

madawa kumefika kilele. Inadhihirisha

pia kwamba katika karne ya 21, jamii

zitajitahidi kujilinda dhidi ya kulewa

madawa kwa namna yoyote ile.

Shirika la Green Crescent lilianzishwa

mwaka wa 1920 na wataalm sifika

waliokuwa na kipaumbele cha ukubwa

wa shida hii karne moja iliyopita, na

wakatafuta njia ya kuzuia ukuaji wa

kutumia madawa ya kulewa wakati

na baada ya vita. Mapambano haya,

ambayo mwanzoni yalikuwa dhidi

ya kulewa pombe, yamepanuka

baadaye

kuzingatia

pia

sigara,

madawa na kamari, na hivi juzi,

ulevi wa kiteknolojia umeongezwa

kwenye orodha hii. Tangu wakati

huo, viongozi, maafisa na watumishi

wote wa shirika la Green Crescent

wamebeba bendera ya mapambano

haya adimu, wameendeleza kazi na

shughuli za shirika hili wakiwa na

jukumu hili nyoyoni na wamejitahidi

sana kuhakikisha kwamba jukwaa hili

adimu liko imara. Pia, wanatafuta njia

na nafasi za kusambaza mapambano

haya duniani kote na kuhakikisha

yanaendelezwa,

kwa

kuwezesha

ufahamu kwamba kulewa ni shida

yenye athari hasi kwa binadamu wote.

Kwa kusaidiwa na mashina ya kitaifa

ya shirika la Green Crescent, zaidi ya

mashina 100 nchini Uturuki, pamoja

na wafanyakazi na watumishi wa

kujitolea, shirika la Green Crescent

linabeba bendera ya vita dhidi ya

kulewa.

Picha ni za: Semih Akbay

PROF. DR.

MÜCAHİT ÖZTÜRK:

“UTUMIAJI MADAWA

YA KULEVYA

NI SHIDA KUBWA

KOTE DUNIANI”

Prof. Dr. Mücahit Öztürk alipata digri

kutoka chuo kikuu cha Hacettepe, Ndaki

ya Elimu Tiba mwaka 1990. Katika mwaka

1997, alimaliza masomo yake ya uzamivu

katika Chuo Kikuu cha Istanbul, Ndaki ya

Elimu Tiba, Idara ya Afya na Maradhi ya

Kichwa ya Watoto na Ushauri wa Watoto,

mwaka 1990. Alipandishwa cheo kuwa

Profesa Mshiriki mwaka 2000 na kisha

akawa Profesa mwaka 2007, na hivi sasa

ameajiriwa katika Idara ya Saikolojia ya

Chuo Kikuu cha Hasan Kalyoncu. Baadhi

ya machapisho yake ni pamoja na School

Phobia katika jarida ka Kurasa 99 (2006),

Ushauri wa Watoto (2007), Watoto wa

Wazazi Waliotengana (2008) na Wasiwasi

Katika Watoto (2015). Prof. Dr. Mücahit

Öztürk ni Rais wa sasa wa shirika la Green

Crescent.

PROF. DR. MÜCAHİT ÖZTÜRK NI NANI?

4