

Michezo ya mtandaoni duniani na kamari ya mtandaoni, uraibu wa
kamari hutishia sana vijana na watoto mahusisi. Tulizungumza na
Dkt. Marc Potanza kutoka Idara ya Magonjwa ya Akili wa Chuo
Kikuu cha Yale Shule ya Dawa kuhusu mabadiliko yanayoonekana
katika uraibu wa uchezaji Kamari na hatua zinazohitaji
kuchukuliwa.
Je! Ungetathmini vipi hali ya sasa ya
dunia kuhusu uraibu wa kamari?
Uraibu wa kamari, kama istilahi rasmi
ya uraibu wa kamari, umeainishwa
hivi karibuni katika Utambuzi na
Mwongozo wa Takwimu ya magonjwa
yaakili DSM-5na ICD- 11 yaani Uanishaji
wa Kimataifa wa magonjwa kama
uraibu wa kitabia. Ingawa uchezaji
wa kamari umekuwa mojawapo wa
tamaduni nyingi duniani kwa miaka
mingi,
kuna
mabadiliko
mengi
ambayo yametokea na kubadilisha
tabia za uchezaji kamari. Kwa mfano,
kamari za mtandaoni zimeongezeka
sana katika muongo mmoja uliopita,
na mbinu ambazo watu hucheza
kamari ya mtandaoni hutofautiana
na njia wanazocheza wasipokuwa
mtandaoni, kwa sababu ya sehemu
ya utaftaji na upatikanaji. Aidha,
uchezaji wa kamari na kamari ya video
vinakaribiana kisifa, kuwalinda vijana
kutokana na mabadiliko kutoka kwa
michezo ya kubahatisha na kuanza
kucheza kamari, na kisha kwa uraibu
wa kamari, ni janbo muhimu sana.
Je, nini kinafanywa kulinda afya
ya jamii. Je, kuna mpango gani kwa
maisha ya badaye?
Mamlaka
tofauti
ya
kisheria
yamechukua mikakati tofauti kulinda
afya ya jamii. Baadhi ya nchi zimepiga
marufuku michezo ya kubahatisha
na kamari kwa ujumla, nchi nyingine
zinajitahidi kuongeza kodi ya kamari
na kuiwekea viziwizi kadhaa; na katika
nchi nyingine kamari haikudhibitiwa
hata kidogo. Shirika la Afya Duniani
lilitoa fasili ya kamari iliyokithiri
katika ICD-11, likilenga kushughulikia
tabia hatari za kamari ambazo
hazijakuwa kufika katika kiwango
cha uraibu wa kamari. Kwa miaka
mitano iliyopita, shirika la Afya
Duniani limekuwa likikutana kujadili
maendeleo ya vyombo ya kutathmini
vya michezo inayojihusisha na Kamari
ambavyo vinaweza kutumiwa katika
mamlaha tofauti ya kisheria.
Mashirika ya kijamii hufanya
majukumu gani katika uwanja huu?
Wadau wengi wapo; na lazima
washiriki katika uthibiti wa uraibu
wa kamari na katika kuwasiadia watu
walio na hali hiyo. Ni lazima makundi
yanayojihusisha katika utoaji wa
huduma za kamari (yale ya serikali na
yasio ya serikali) yalenge kulinda afya
ya jamii. Kuelewa uwezo wa athari za
kamari haswamiongoni mwamakundi
yanayoweza kuathiriwa na Kamari ni
muhimu sana katika mchakato huu.
Watunga sera wanapaswa kutunga na
kutekeleza sheria zinazolinda watu
kupata shida zinazohusiana na Kamari
na kusaidia shughuli zinazosaidia
watu ambao wamepata shida kama
hizo.
Mashirika
yanayodhamini
utafiti katika kinga, kutibu na afya
ya jamii yatoe msaada wa kutosha
kwa utafiti unaohusiana na kamari.
Ni lazima Maofisa wa Afya ya Jamii na
wotoa huduma ya Afya, wafundishwe
kuhusu uraibu wa kamari na njia bora
ya kuuzuia na kuutibu.
Una maoni gani kuhusu shirika
la Green Crescent na juhudi zake
katika eneo hili?
Green Crescent limekuwa shirika
tendaji katika kushughulikia uraibu
wa kamari katika pande nyingi. Jamii
ya Green Crescent imedhamini na
kujihusisha na majaribio ya shirika
la Afya Duniani zinazolenga to
kushughulikia tishio la Kamari. Shirika
la Shirika la Green Crescent limekuwa
likifanya kazi ikiwa na kushughulikia
shida za kamari kwenye pande nyingi.
Jumuiya ya Green Crescent imeunga
mkono na imekuwa ikihusika na
Shirika la Afya Duniani ikilenga
kuthibiti kushughulikia kimari
hatari sana. Shirika la Green Crescent
limetoa mafunzo katika uzuiaji na
matibabu ya shida za kamari nchini
Uturuki. Kupitia juhudi kama hizo,
afya ya jamii nchini Uturuki na kote
duniani itaboreshwa.
Mahojiano na: Kemal Altın
DKT. MARC POTANZA;
“UCHEZAJI KAMARI
MTANDAONI HUCHOKO
A URAIBU”
Dkt. Potanza ni mhadhiri katika
Idara ya Magonjwa ya Akili ya Chuo
Kikuu cha Yale Shule ya Dawa. Yeye
ni Mkurugenzi wa Idara ya Nyurolojia
Kituo cha elimu ya watoto, kituo
cha Utafiti kuhusu Kamari, mpango
wa uchunguzi kuhusu udhibiti wa
ugonjwa unaosabisha mhemko wa
ghafla pamoja na kufanya utafiti wa
wanawake na Uraibu na kiini cha Afya
ya Wanawake katika Chuo kile kile.
JE, DKT. MARC POTANZA NI NANI?
64