Background Image
Previous Page  42 / 68 Next Page
Information
Show Menu
Previous Page 42 / 68 Next Page
Page Background

Yeşilay’dan

Bağımlılıkla

Mücadelede

Eğitim Seferberliği

Shirika la Afya Duniani (yaani; WHO) limeutambua uraibu wa michezo ya

kubahatisha kama ugonjwa, na kuipa michezo hiyo, nambari ya utambuzi

ya Uainishaji wa Kimataifa wa Magonjwa yaani, ICD. Tulizungumza na Dkt.

Daniel Spritzer, Mratibu wa Bodi ya Wakurugenzi wa Jumuiya ya Kimataifa

wa Uchunguzi ya Ukuaji wa Tabia (ISSBD), kuhusu uraibu wa michezo

ya kubahatisha na tishio linalojitokeza kwa watoto na vijana, na kuhusu

maendeleo yake yaliyoshuhudiwa kote ulimwenguni.

Je, ni nini hali ya Dunia ya sasa ya

teknolojia na uraibu wa michezo ya

kubahatisha?

Tunaishi katikadunia inayotawaliwasana

na teknolojia kiasi kwamba teknolojia

hiyo huathiri jinsi tunavyowasiliana na

kuishi na wenzetu, jinsi tunavyojifunza

na pia tunavyojiburudisha. Uelewaji

wa vipengele vya kiafya na madhara ya

tabia zinazobadilika haraka haraka ni

changamoto kwa wataalam bingwa wa

Afya ya Akili.

Tangu

miaka

ya

tisini,

watafiti

wamekuwa wakichunguza kwa makini

uongezekaji na tatizo la kucheza

michezo ya mtandaoni na tafiti nyingi

zimefanywa kitika nchi kadhaa duniani

kote, wakikusanya ushahidi ambao

umewezesha kuwepo kwa maendeleo

makubwa katika uwanja huu.

Kwa sasa, jamii ya kisayansi ya kimataifa,

Afya ya akili na serikali wametambua

kwamba michezo ya mtandaoni pamoja

na mambo ya kimtandao kama vile

mitandao ya kijamii na ponografia

vinaweza kuathiri watumiaji wake kiasi

cha kuitwa ugonjwa wa akili.

Ni Kitu gani ambacho kinafanywa

kulinda afya ya jamii na kuna mpango

gani kwa wakati ujao?

Kuingizwa kwa uraibu wa michezo ya

kubahatishakatika toleo la 11 la Uainishaji

wa Kimataifa wa Magonjwa yaani ICD-11

wa Shirika laAfyaDuniani, kunawakilisha

hatua muhimu sana inayofaidi afya ya

jamii. Kwa kutoa mfumo unaothibitisha

ushahidi

unaoongoza

taratibu

za

utambuzi wa ugonjwa zinazohusiana

na hali hii, inawezesha na kuhalalisha

upataji wa huduma, zikichochea pia

utafiti wa kisayansi.

Ni muhimu hapa kueleza wazi wazi

tofauti kati ya “michezo ya kubahatisha”

na “Uraibu ya michezo ya kubahatisha”.

Michezo ya kubahatisha ni shughuli kuu

ya burudani ya watoto wengi, vijana na

watu wazima, na inachukua jukumu

kubwa katika elimu, afya na utamaduni.

Uraibu wa michezo ya kubahatisha ni

pale ambapo michezo ya kubahatisha

imekuwa

shida

na

kusababisha

maadhara kwamaisha ya kila siku, jambo

ambalo hutokea kwa idadi ndogo sana

ya wachezaji. Kuanzisha hatua za kuzuia

hali hii kunaweza kuwa na ufanisi bila

kuathiri tabia ya kawaida (yaani, kukuza

utumiaji salama huku ukiongeza faida za

shughuli hii maarufu na ya kupendeza)

ni changamoto kwa wadau wote.

Je! Jukumu la Mashirika yasiyo ya

Serikali ni ipi katika suala hili?

Utumiaji wa teknolojia haujihusishi

na kitengo mahsusi cha elimu, au

kujihusisha na utaalamu wa taaluma

moja. Vivyo hivyo, Uraibu wa michezo

unaweza kueleweka kwa njia tofauti

na wadau wengi tofauti (wahusika wa

michezo na familia zao, tasnia, mfumo

wa afya na elimu, waandishi wa habari,

wasomi, na serikali).

Mashirika ya kijamii yasiyo ya serikali

yanaweza kuchangia pakubwa katika

mapambano dhidi ya uraibu wa michezo

ya kubahatisha kwa kuhamasisha

jamii kuhusu athari za michezo ya

kubahatisha, kwa kuanzisha mikakati ya

kijamii ya kuzuia uraibu, na kwa kuunda

njia za ubunifu kulingana na picha ya

kuaminika ya kile kinachohitajika. Hii

itaruhusu mashirika yasiyo ya serikali

kuwahudumia watu walio hatarini zaidi,

na kutoa habari muhimu kuhusu jinsi

wanavyoweza kusaidiwa.

Je, una Maoni gani kuhusu

mapambano ya Green Crescent dhidi

ya uraibu?

Mapambano ya Green Crescent dhidi

ya kila aina ya uraibu huelekezwa na

mtazamo ambao unahusu watu na

ushahidiNi shirika la kipekee duniani

kwa sababu ya jihudi zake. Miradi ya

kuzuia uraibu ambayo ilianzishwa awali

nchini imeenea pole pole katika nchi

nyingi duniani. Kupitia miradi hii, Green

Crescent, ina uwezo mzuri sana wa

kusaidia watu walio na tatizo la uraibu

wa kucheza michezo ya kubahatisha

na familia zao kwa kuihamasisha jamii

kuhusu suala hilo na kwa kutoa huduma

za matibabu na ukarabati na pia kupitia

utetezi na ushirikiano kamili.

Mahojiano na: Sara Evli

Uraibu wa michezo ya

kubahatisha ni pale ambapo

michezo ya kubahatisha

imekuwa shida na

kusababisha maadhara kwa

maisha ya kila siku, jambo

ambalo hutokea kwa idadi

ndogo sana ya wachezaji.

DKT. DANIEL SPRITZER;

“MICHEZO YA KUBAHATISHA YA

MTANDAONI NI “UGONJWA”

IKIATHIRI MAISHA YA BINADAMU”

Dkt. Daniel Spritzer ni Daktari wa

Akili wa Watoto na vijana huko Porto

Alegre, Brazil. Yeye yuko katika Bodi

jamii ya Kimataifa ya Uchunguzi

wa Uraibu wa Tabia yaani (ISSBA)

amekuwa mratibu wa kundi la watafiti

kuhusu uraibu wa tekinolojia-kundi

lilioundwa to kuchunguza namna

uongezekaji wa kutumia mitandao

ya kijamii unavyoathili afya ya akili

ya watoto na vijana tangu mwaka wa

2006.

DKT. DANIEL SPRITZER NI NANI?

40