Background Image
Previous Page  51 / 68 Next Page
Information
Show Menu
Previous Page 51 / 68 Next Page
Page Background

wanaowazunguka katika mapambano

dhidi uraibu wa madawa ya kulevya. Kila

kazi inayowasilishwa kwa mashindano

haya ni muhimu sana kwetu, kwani ni

ya thamani sana kwetu kwamba wana

uwezo wa kuunda kazi inayoonyesha

mapambano dhidi ya uraibu wa madawa

ya kulevya na kuweza kushindana katika

umri huo mdogo. Tena, ningependa

kumshukuru kila mtu ambaye alishiriki.

Ikiwa hatutaki watoto wetu wakue na

kuwa watu wazima wachukivu, lazima

tuanze mapambano mapema wangali

bado umri mdogo na kuwakuza wakiwa

watu wenye furaha na wenye afya njema.

Sisi kama Green Crescent, tunaendelea

kufanya kazi hadi mwisho na tunatarajia

msaada wako. “

“Utakuwa na mahali katika paa la

Green Crescent Daima”

Mwanachama wa Bodi ya Green Crescent

Dkt. Esra Albayrak alitumia fursa katika

hafla ya kutunukia washindi tuzo

kusisitiza mahitaji ya kutekeleza shughuli

kama hizo: “Shughuli kama hizo ni jukumu

kwetu. Ushiriki wa vijana wetu unahitaji

mapenzi makubwa. Tunamshukuru kila

mtu. Tunapenda kuwashukuru watoto

wetu wapendwa na vijana, na pia walimu

wanaowaunga mkono na kila mtu

anayewasaidia vijana. Nikupongezeni,

na

kukutakia

fanaka.

Ningependa

kukukumbusheni kuwa daima utakuwa

na mahali chini ya paa la Green Crescent.

Siku zote tuko hapa, kama kaka na dada

zako. “

Mashindano yameenea kote nchini

kwa miaka 3 iliyopita

Prof Ahmet Emre Bilgili, Mkurugenzi

Mkuu wa Elimu Maalum ya Huduma za

Ushauri Nasaha katika Wizara ya Elimu ya

Kitaifa (MONE), alisema kwamba uraibu

wa madawa ya kulevya ulikuwa ni moja

wapo ya changamoto kubwa ulimwenguni

leo, ukiwatisha watu na jamii.

Alibaini kuwa mashindano ambayo

yamekuwa

yakifanywa

juhudi

za

ushirikianowaWizara ya Elimu ya Taifa na

Green Crescent kwa miaka tisa yamefikia

hatua muhimu sana, yakiwa yameenea

kote nchini katika miaka mitatu iliyopita

baada ya kufanyika tu Istanbul kwa miaka

sita.

Zaidi ya kazi 185,000 ziliwasilishwa

Washindi wa kimkoa wa mashindano

ya vipaji ya”Kazazi chenye Afya njema,

Afya ya bora ya Baadaye”” walipewa tuzo

ya kifedha ya lira 500 kwenye sherehe

zilizofanyika katika majimbo yao. Katika

fainali, washindi walipewa Lira 5,000,

wakati wale waliochukua nafasi ya pili

walipokea lira 3,000 na wale waliochukua

nafasi ya tatu walipokea lira 1,500 za

Uturuki.

İdil Dilara Kahramano lu

Mshindi wa shindano la Sanaa ya uoni la Shule za Sekondari ya juu

Asya Makbule Kılıç

Mshindi wa shindano la Sanaa ya uoni la Shule za Msingi

Ya mur Albayrak

Mshindi wa shindano la Sanaa ya uoni la Shule za

Sekondari ya chini

49